Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia aipongeza kamati ya Kitaifa ya Maboresho ya Mitaala
Waziri wa Elimu. Sayansi na Teknolojia Mhe Prof. Adolf Mkenda (Mb), leo tarehe 24.2.2023 amekutana na wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Maboresho ya Mitaala inayoongozwa na Mwenyekiti wake Prof. Makenya Maboko katika ukumbi wa Mikutano wa Taasisi ya Elimu Tanzani (TET).
Imewekwa:<span>24 </span>February,2023
Soma zaidi